Martha Mwaipaja – Kwa Msaada Wa Mungu Tunashinda

Martha Mwaipaja – Kwa Msaada Wa Mungu Tunashinda Mp3 download

Martha Mwaipaja Kwa Msaada Wa Mungu Tunashinda Mp3

Martha Mwaipaja Kwa Msaada Wa Mungu Tunashinda Mp3 Download Fakaza Gospel. Veteran Tanzanian gospel singer, Martha Mwaipaja comes through with a new song titled Kwa Msaada Wa Mungu Tunashinda.

Martha Mwaipaja Mp3 Download. Listen online, and enjoy The Lyrics, Video of your favorite Music

Stream, Listen, and Download Below.

DOWNLOAD MP3 Martha Mwaipaja – Kwa Msaada Wa Mungu Tunashinda

Kwa Msaada Wa Mungu Tunashinda Lyrics By Martha Mwaipaja

Kwa msaada wa Mungu tunashinda ya dunia
Kwa msaada wa Mungu tunashinda ya dunia
Tunasonga mbele kwa sababu ya Mungu
Hatukati tamaa kwa neema ya Mungu
Tunasonga mbele kwasababu ya Mungu
Hatukati tamaa kwa neema ya Mungu
Kwa msaada wa Mungu tunashinda ya dunia
Kwa msaada wa Mungu tunashinda ya dunia
Tunasonga mbele kwa sasabu ya Mungu
Hatukati tamaa kwa neema ya Mungu
Tunasonga mbele kwasababu ya Mungu
Hatukati tamaa kwa neema ya Mungu
Nashukuru kwa sababu tunaye Baba mwenye huruma
Anayetuhurumia tupitapo kwenye matatizo
Nashukuru kwa sababu tunaye Baba mwenye huruma
Aliyesema tusifadhaike mioyoni mwetu
Asingekua pamoja nasi nani angekua nasi
Asingekua mwenye huruma leo tungekuaje
Asingetuhurumia Baba nani angetushindia
Asingekua mpole Baba tungeenda kwa nani
Tupo hivi tulivyo kwa sababu ya Baba
Tupo hivi tulivyo kwa sababu ya Mungu
Kwa msaada wa Mungu tunashinda vyote
Kwa msaada wa Mungu tunashinda ya dunia
Kwa msaada wa Mungu tunashinda ya dunia
Tunasonga mbele kwa sasabu ya Mungu
Hatukati tamaa kwa neema ya Mungu
Tunasonga mbele kwa sasabu ya Mungu
Hatukati tamaa kwa neema ya Mungu
Kwa msaada wa Mungu tunashinda ya dunia
Kwa msaada wa Mungu tunashinda ya dunia
Tunasonga mbele kwa sasabu ya Mungu
Hatukati tamaa kwa neema ya Mungu
Tunasonga mbele kwa sasabu ya Mungu
Hatukati tamaa kwa neema ya Mungu
Ni Mungu atabaki kuitwa Mungu kwangu
Amenipenda hata mimi, nisiyetazamiwa
Ni Mungu atabaki kuitwa Mungu kwangu
Amenipenda hata mimi nisiyetazamiwa
Hivi nilivyo mimi leo, ni kwa neema ya Baba
Hivi nilivyo mimi leo, ni kwa neema ya Mungu
Angetazama elimu yangu, ni nani angenichagua
Angetazama wenye pesa, mimi si chochote
Angetazama elimu yangu, ni nani angenichagua
Angetazama wenye pesa, mimi si chochote
Nipo hivi nilivyo mimi, kwa neema ya Baba
Nipo hivi nilivyo leo, kwa neema ya Baba
Kwa msaada wake, nashinda yote, eh
Kwa msaada wa Mungu tunashinda ya dunia
Kwa msaada wa Mungu tunashinda ya dunia
Tunasonga mbele kwa sasabu ya Mungu
Hatukati tamaa kwa neema ya Mungu
Tunasonga mbele kwa sasabu ya Mungu
Hatukati tamaa kwa neema ya Mungu
Kwa msaada wa Mungu tunashinda ya dunia
Kwa msaada wa Mungu tunashinda ya dunia
Tunasonga mbele kwa sasabu ya Mungu
Hatukati tamaa kwa neema ya Mungu
Tunasonga mbele kwa sasabu ya Mungu
Hatukati tamaa kwa neema ya Mungu