LYRICS: Evelyn Wanjiru – Subiri

Evelyn Wanjiru – Subiri

Evelyn Wanjiru Subiri Lyrics

Evelyn Wanjiru Subiri Lyrics Download Fakaza Gospel. check out the lyrics of this amazing song by Evelyn Wanjiru called Subiri.

Evelyn Wanjiru Lyrics Download. Listen online, and enjoy The Lyrics, Video of your favorite Music

Lyrics: Evelyn Wanjiru – Subiri

Afadhali kungoja
Kumngoja bwana
Subiri, subiri bwana
Afadhali kungoja
Kumngoja bwana
Subiri, subiri bwana
Usichukue njia ya mkato
Usipotoshe mashauri ya wasio hai
Heri mtu yule, afuataye sheria za bwana
Atakuwa kama mti kando kando ya maji
Huzaa matunda kwa majira yake
Kila atendalo atafanikiwa
Eeeeh
Afadhali kungoja(Afadhali kungoja)
Kumngoja bwana(Usikate tamaa)
Subiri (Mungu yuko), subiri bwana
Afadhali kungoja
Kumngoja bwana
Subiri, subiri bwana
Umekuwa na maswali mengi mno
Unashangaa Mungu yuko wapi
Umebishabisha Mungu yuko wapi
Kufunga na kuomba, Kukesha na kuomba
Hupati majibu
Mungu sio mwanadamu hadanganyi
Subiri kwa imani
Subiri, wewe subiri
Afadhali kungoja
Kumngoja bwana(Kumngoja bwana)
Subiri, (subiri baraka) subiri bwana(Yesu akupenda)
Afadhali kungoja(Usikate tamaa)
Kumngoja bwana(Mungu ni mwaminifu we)
Subiri, subiri bwana
Subiri, subiri bwana (Yote yawezekana)
Subiri, subiri bwana (Jipe Moyo Moyo Moyo Moyo Moyo)
Subiri, subiri bwana (So we can may and do it for love)
Subiri, subiri bwana (Joy comes in the morning)
Subiri, subiri bwana (Wait on the Lord)
Subiri, subiri bwana (Be still and know)
Subiri, subiri bwana
Subiri, subiri bwana
Subiri, subiri bwana
Subiri, subiri bwana
Subiri, subiri bwana