Walter Chilambo – Yule Yule

Walter Chilambo – Yule Yule

Walter Chilambo Yule Yule Mp3

Walter Chilambo Yule Yule Mp3 Download Fakaza Gospel. The Gospel music artist, Walter Chilambo comes to spotlight with an amazing single entitled Yule Yule.

Walter Chilambo Mp3 Download. Listen online, and enjoy The Lyrics, Video of your favorite Music

Stream, Listen, and Download Below.

DOWNLOAD MP3: Walter Chilambo – Yule Yule

Lyrics: Yule Yule

Asante Mungu kwa hapa nilipo
Ninashukuru kwa uzima na, nguvu na nilipo
Na tena umebadili histori yangu ilivyo
Umenifanya mpya tofauti na hapo mwanzo

Maana umenitoa, kifungoni Bwana
Ulinikomboa shetani alinifunga
Tena ukanikomboa kwa damu yako bwana
Sasa Niko huru na wokovu ndani yangu

Umenisitiri kwa upendo wako umenipa ushindi kwa msaada wako
Umenificha kwenye mbawa zako oooh umenibadilisha
Oooh si yule yule
Mimi Kama mimi [yule yule]
Tena [si yule yule]
Ooh mimi si yule [yule yule]
Oooh si yule yule [ yule yule]
si yule yule [yule yule]
Nimekombolewa [yule yule]
Yule Oooh si yule yule

Zidisha unijaze hekima yako wee na njia zako wee zaidi niwe na wee
mawazo uyakamate akili zangu zote fahamu zako wee daima ziniongoze
Ninakupa Maisha yangu na moyo wangu wote
Niwewe tumaini langu mchana na usiku [oooh]

Maana umenitoa, kifungoni Bwana
Ulinikomboa shetani alinifunga
Tena ukanikomboa kwa damu yako bwana
Sasa Niko huru na wokovu ndani yangu

Umenisitiri kwa upendo wako umenipa ushindi kwa msaada wako
Umenificha kwenye mbawa zako oooh umenibadilisha
Oooh si yule yule
Mimi Kama mimi [yule yule]
Tena [si yule yule]
Ooh mimi si yule [yule yule]
Oooh si yule yule [ yule yule]
si yule yule [yule yule]
Nimekombolewa [yule yule]
Yule Oooh si yule yule

Asante Mungu kwa hapa nilipo
Ninashukuru kwa uzima na, nguvu na nilipo
Na tena umebadili histori yangu ilivyo
Umenifanya mpya tofauti na hapo mwanzo

Maana umenitoa, kifungoni Bwana
Ulinikomboa shetani alinifunga
Tena ukanikomboa kwa damu yako bwana
Sasa Niko huru na wokovu ndani yangu

Umenisitiri kwa upendo wako umenipa ushindi kwa msaada wako
Umenificha kwenye mbawa zako oooh umenibadilisha
Oooh si yule yule
Mimi Kama mimi [yule yule]
Tena [si yule yule]
Ooh mimi si yule [yule yule]
Oooh si yule yule [ yule yule]
si yule yule [yule yule]
Nimekombolewa [yule yule]
Yule Oooh si yule yule

Zidisha unijaze hekima yako wee na njia zako wee zaidi niwe na wee
mawazo uyakamate akili zangu zote fahamu zako wee daima ziniongoze
Ninakupa Maisha yangu na moyo wangu wote
Niwewe tumaini langu mchana na usiku [oooh]

Maana umenitoa, kifungoni Bwana
Ulinikomboa shetani alinifunga
Tena ukanikomboa kwa damu yako bwana
Sasa Niko huru na wokovu ndani yangu

Umenisitiri kwa upendo wako umenipa ushindi kwa msaada wako
Umenificha kwenye mbawa zako oooh umenibadilisha
Oooh si yule yule
Mimi Kama mimi [yule yule]
Tena [si yule yule]
Ooh mimi si yule [yule yule]
Oooh si yule yule [ yule yule]
si yule yule [yule yule]
Nimekombolewa [yule yule]
Yule Oooh si yule yule

Asante Mungu kwa hapa nilipo
Ninashukuru kwa uzima na, nguvu na nilipo
Na tena umebadili histori yangu ilivyo
Umenifanya mpya tofauti na hapo mwanzo

Maana umenitoa, kifungoni Bwana
Ulinikomboa shetani alinifunga
Tena ukanikomboa kwa damu yako bwana
Sasa Niko huru na wokovu ndani yangu

Umenisitiri kwa upendo wako umenipa ushindi kwa msaada wako
Umenificha kwenye mbawa zako oooh umenibadilisha
Oooh si yule yule
Mimi Kama mimi [yule yule]
Tena [si yule yule]
Ooh mimi si yule [yule yule]
Oooh si yule yule [ yule yule]
si yule yule [yule yule]
Nimekombolewa [yule yule]
Yule Oooh si yule yule

Zidisha unijaze hekima yako wee na njia zako wee zaidi niwe na wee
mawazo uyakamate akili zangu zote fahamu zako wee daima ziniongoze
Ninakupa Maisha yangu na moyo wangu wote
Niwewe tumaini langu mchana na usiku [oooh]

Maana umenitoa, kifungoni Bwana
Ulinikomboa shetani alinifunga
Tena ukanikomboa kwa damu yako bwana
Sasa Niko huru na wokovu ndani yangu

Umenisitiri kwa upendo wako umenipa ushindi kwa msaada wako
Umenificha kwenye mbawa zako oooh umenibadilisha
Oooh si yule yule
Mimi Kama mimi [yule yule]
Tena [si yule yule]
Ooh mimi si yule [yule yule]
Oooh si yule yule [ yule yule]
si yule yule [yule yule]
Nimekombolewa [yule yule]
Yule Oooh si yule yule

Asante Mungu kwa hapa nilipo
Ninashukuru kwa uzima na, nguvu na nilipo
Na tena umebadili histori yangu ilivyo
Umenifanya mpya tofauti na hapo mwanzo

Maana umenitoa, kifungoni Bwana
Ulinikomboa shetani alinifunga
Tena ukanikomboa kwa damu yako bwana
Sasa Niko huru na wokovu ndani yangu

Umenisitiri kwa upendo wako umenipa ushindi kwa msaada wako
Umenificha kwenye mbawa zako oooh umenibadilisha
Oooh si yule yule
Mimi Kama mimi [yule yule]
Tena [si yule yule]
Ooh mimi si yule [yule yule]
Oooh si yule yule [ yule yule]
si yule yule [yule yule]
Nimekombolewa [yule yule]
Yule Oooh si yule yule

Zidisha unijaze hekima yako wee na njia zako wee zaidi niwe na wee
mawazo uyakamate akili zangu zote fahamu zako wee daima ziniongoze
Ninakupa Maisha yangu na moyo wangu wote
Niwewe tumaini langu mchana na usiku [oooh]

Maana umenitoa, kifungoni Bwana
Ulinikomboa shetani alinifunga
Tena ukanikomboa kwa damu yako bwana
Sasa Niko huru na wokovu ndani yangu

Umenisitiri kwa upendo wako umenipa ushindi kwa msaada wako
Umenificha kwenye mbawa zako oooh umenibadilisha
Oooh si yule yule
Mimi Kama mimi [yule yule]
Tena [si yule yule]
Ooh mimi si yule [yule yule]
Oooh si yule yule [ yule yule]
si yule yule [yule yule]
Nimekombolewa [yule yule]
Yule Oooh si yule yule